MAUMIVU [7]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 апр 2025

Комментарии • 161

  • @JanethSeweg
    @JanethSeweg 2 месяца назад +3

    Jamn ata mzee wa misumar or dady ananogesha2 gong like km unampend dady😂😂

  • @ThomasWilliam-k5h
    @ThomasWilliam-k5h 5 месяцев назад +8

    Mzee wa misumari mshenzi kweli kweli aisee anaminywesha kojo mwanaume mwenzake kwel sijapenda.

  • @ZarinahZari
    @ZarinahZari 5 месяцев назад +6

    Duuuh kweli cheusi kigeugeu kamkataa mwenzakee hahaha nmepnda ❤❤❤

  • @AishaTamimu
    @AishaTamimu 5 месяцев назад +2

    Kitengo mbn ayup ❤❤ twampend mleten Chad mast❤

  • @SaumuNyale-s6h
    @SaumuNyale-s6h 5 месяцев назад +7

    Nakubali chado n watu wote wamehusika ktk filamu hii ❤❤❤

  • @VailethKomba
    @VailethKomba 4 месяца назад +5

    Kazi nzur na chado yuko wapi jamon

  • @AmianiMercy
    @AmianiMercy 5 месяцев назад +7

    Wambea wezangu nawapenda sana😂😂😂 we

  • @MimahKenzer
    @MimahKenzer 5 месяцев назад +8

    Cheusi 😂😂😂😂😂 umbea 😂😂😂😂umeyacha yalokuplka unzua mengine 😂uko vzuri 🎉🎉❤❤

  • @DavidBalimuchabo-o1z
    @DavidBalimuchabo-o1z 5 месяцев назад +3

    Tuna mtaka chado jamani sababu movie hii hainoge bila chado masta

    • @RukiaJongo
      @RukiaJongo 2 месяца назад

      ni kweli kbs chado master ayuoo

  • @AnnaLabson
    @AnnaLabson 5 месяцев назад +5

    Kazi nzuri sana brother ❤❤🎉🎉

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 4 месяца назад

    Cheusi na Bonge nyinyi watu mwanifurahisha❤❤❤❤❤

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 5 месяцев назад +5

    Nimekuwa wa kwanza kazi nzr sana chado tv❤🎉

  • @JacquelineKitende-g9p
    @JacquelineKitende-g9p 5 месяцев назад +1

    Muv nzur tatizo mnatoa mda mchache⭐⭐ongezeni mda mtoe ata dakika nyingi kidog

  • @haluarahma3071
    @haluarahma3071 5 месяцев назад +4

    Cheusi eti shoga aanguy😅😅😅😅😅😅 kazi ipo kwa bonge n cheusi😅😅😅😅😅😅😅

  • @NadsmaaliAli
    @NadsmaaliAli 5 месяцев назад +2

    Nampenda cheusi Ila haheleweki😂😂😂😂😂

  • @bimkhamis
    @bimkhamis 4 месяца назад +1

    Lahaulaaa cheus na bonge heeee pokea kopaaaa❤❤❤❤

  • @IbrahimMkwama-m3n
    @IbrahimMkwama-m3n 5 месяцев назад +10

    Tuendelee kusaport vijana😂😂😂 mwana anakunywa kojo shenzi mzee wa Misumari

    • @NYAMBISHANI
      @NYAMBISHANI 5 месяцев назад +1

      😂😂😂😂daaah mzee wa misumali kazingua😂😂

    • @IbrahimMkwama-m3n
      @IbrahimMkwama-m3n 5 месяцев назад +2

      @@NYAMBISHANI 🤣🤣🤣huyu mzee wa misumari nitamkodi aje mtaani kwetu

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 4 месяца назад +1

      😂😂😂

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is 5 месяцев назад +1

    Cheusi nimsaliti kweli 😂😂😂😂😂

  • @NYAMBISHANI
    @NYAMBISHANI 5 месяцев назад +4

    😂😂😂😂jamani cheusi mim namkubali san 🎉

  • @SkeetoSsaa
    @SkeetoSsaa 5 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂cheus mungu anakuona wallah

  • @Safinamfinanga
    @Safinamfinanga 5 месяцев назад +4

    Nimewahi leo hongereni sana

  • @MadamOrida
    @MadamOrida 5 месяцев назад +2

    Jamani hikii kojoo mhhh😱😱😱😱😱😱😱

  • @Jackiline-kw3zq
    @Jackiline-kw3zq 5 месяцев назад +2

    Waoo kazi nzuri sana 😂😊😊

  • @irenebenbella
    @irenebenbella 5 месяцев назад +2

    Yan Anifa na babe wake uyo barut km mtu na mwanae yani khaaa🙌🙌🙌

  • @MELVIN-BBY
    @MELVIN-BBY 5 месяцев назад +5

    Mzee wa misumari jieshimu sasa ndio unyweshe mtu mkojo😂😂😂😂

    • @Leeobite
      @Leeobite 5 месяцев назад +1

      Nyie .maji Yale sio mkojo walitia KWENY chupa Kisha unatoboa tundu chupa yanatoka vle

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 4 месяца назад

      ​@@Leeobite😂😂😂kabisa

  • @HashimuJulius
    @HashimuJulius 5 месяцев назад +3

    Cheusi respect miaka 100000 upowi piga Kazi nakufuatilia

  • @AhmadAlaee-x1r
    @AhmadAlaee-x1r 5 месяцев назад +1

    Niko samba mba na cheusi na shoga ake bonge mpk wasutweee😂😂😂😂😂😂

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 5 месяцев назад +2

    Ila najma na kakitu😂 kama askari wa kenya vile😊

  • @MariamJaberi-g5y
    @MariamJaberi-g5y 5 месяцев назад +2

    Nawapenda San jaman ❤❤❤

  • @Lissahford
    @Lissahford 5 месяцев назад +3

    Nasemajeeeee tunamtaka chadooo eeh hamskiii kwan😅

  • @NasraFahmy-j9y
    @NasraFahmy-j9y 5 месяцев назад +2

    Dahhh kupendwa raha honger hanifa wangekuw wanaume wote wap iv ingekuw rah akun kucheat

  • @SubiraMussa-f3y
    @SubiraMussa-f3y 5 месяцев назад +2

    Mbuz hem muach hanifa ndohakutaki❤❤❤

  • @EidMuyukwa
    @EidMuyukwa 5 месяцев назад +2

    Daah ila cheusi tiiiii unajua kaka yaani hiyo script uliyopewa unaitendea haki kaka God 🙏 you

  • @MarKarim-km2yh
    @MarKarim-km2yh 5 месяцев назад +3

    😂😂😂😂😂 cheusi anaga akili hata kidogo kwanza kigeu geu😂😂😂😂😂😂

  • @zawadiphilemon2450
    @zawadiphilemon2450 5 месяцев назад +6

    Cheusi kawa juma lokole jaman anachambaa😂😂😂😂😂

  • @GraceMathew-i5d
    @GraceMathew-i5d 4 месяца назад +2

    Nawapenda ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @NiyonzimaDidibel
    @NiyonzimaDidibel 5 месяцев назад +32

    ifuatayo kamahatumuoni chado tunawasusia movie yenu😢 kama unakubaliana na hili gonga hapa wamlete fasta

  • @SalamaMusayi
    @SalamaMusayi 5 месяцев назад +3

    Npona muna nguwa ubunifu wenu Bado ha uja fikiya chado mumulete njamani

  • @SophiaMgonda
    @SophiaMgonda 5 месяцев назад +2

    Mzee wa misumali sijapenda ulichokifanya

  • @ReginaRehina-sy2gm
    @ReginaRehina-sy2gm 5 месяцев назад +2

    Najma nae anataka maokoto daaahhh😅😅😅

    • @SalhiaEdward
      @SalhiaEdward 5 месяцев назад +1

      Jamani tunaombeni muvi yetu muendelezo wamission impossible

  • @SharafiMayota
    @SharafiMayota 5 месяцев назад +7

    Jamani cheusi anajua xana atafika mbali il Nini tunamtaka CHADO jamani 🎉🎉Kama Upo na Mimi gonga like😂

  • @Haasanjune
    @Haasanjune 5 месяцев назад +2

    mmezingua kwa hii series

    • @Haasanjune
      @Haasanjune 5 месяцев назад

      mwaenda mbele na nyuma amueleweki

  • @DeboraLufingo
    @DeboraLufingo 5 месяцев назад +35

    Kama unaipenda hii move gonga like hapa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SafiaAlawi08
    @SafiaAlawi08 5 месяцев назад

    Cheusiii tiii kama kinyonga masiki bonge 🤣🤣🤣🤣

  • @AnwarHupa
    @AnwarHupa 5 месяцев назад +2

    Cheuc na bonge wapo vile vile 😅😅😅😅

  • @AllyDedr
    @AllyDedr 5 месяцев назад +3

    Humu chado asiwep hawa mbon wanaweza

  • @ArnaudKwizera-j2q
    @ArnaudKwizera-j2q 5 месяцев назад +4

    Cheusi acha ombea we ujue ni mwanaume

  • @MwajumaRemi
    @MwajumaRemi 5 месяцев назад +1

    Jmn Cheusi kwa visaa😅😅

  • @mildredzainab170
    @mildredzainab170 5 месяцев назад +1

    Hanifa and baruti 😂😂😂mwapendana mpka basi

  • @MariamJaberi-g5y
    @MariamJaberi-g5y 5 месяцев назад

    Najm nakupend san ❤❤❤

  • @DOTTOMAKAME
    @DOTTOMAKAME 5 месяцев назад +2

    Cheusi nakukubali sanaa

  • @NdandaCosovo
    @NdandaCosovo 5 месяцев назад +3

    We baruti wangu

  • @VeronicaMgogo
    @VeronicaMgogo 5 месяцев назад +3

    😅😅😅😂😂 cheusi ww duh

  • @RakmaRakma-o9b
    @RakmaRakma-o9b 5 месяцев назад +1

    🙏🙏🙏❤️❤️🇧🇮🇧🇮

  • @NemaAli-zh6hr
    @NemaAli-zh6hr 5 месяцев назад +5

    Sasa hanipha umempendea nn barut , au izo nywele sita za kichwa😂😂😂😂😂😂

  • @PitaMarwa
    @PitaMarwa 5 месяцев назад +4

    Mbn kitengo aonekan .Tupeni kitengo we2u

  • @MonaaOm
    @MonaaOm 5 месяцев назад +3

    Cheusi yani umemruka mwaenzako 😅😅😅😅

  • @KhadijaSallum-b7l
    @KhadijaSallum-b7l 5 месяцев назад +3

    😂😂😂cheus nakuita mara tatu

  • @kadegeolesaita6515
    @kadegeolesaita6515 5 месяцев назад +3

    😂😂😂 KAZI ipoo

  • @WinfridaHamis-m8d
    @WinfridaHamis-m8d 5 месяцев назад +6

    Kwa mara ya kwanza 😂

  • @JasmineJuma-q5y
    @JasmineJuma-q5y 5 месяцев назад +3

    Maskini bonge😅😅😅😅

  • @HadijaAndrewNgozichavura
    @HadijaAndrewNgozichavura 5 месяцев назад +3

    Cheusi nakukubali ebu like🎉🎉🎉🎉

  • @AMINIMAKOA
    @AMINIMAKOA 5 месяцев назад +6

    Lahaulaah timu cheusi

  • @Mr_money_3
    @Mr_money_3 5 месяцев назад +1

    Great work ❤❤❤

  • @KhanifaJacoub
    @KhanifaJacoub 5 месяцев назад +11

    Naomba like za cheus ❤❤❤❤ jamani

  • @ChanceChance-x3r
    @ChanceChance-x3r 5 месяцев назад +1

    ila cheusi kigeu geu kwa kweli 😅

  • @Seranjoroge9244
    @Seranjoroge9244 5 месяцев назад +2

    Upcoming RUclipsrs, tupitianeni hapa pia sisi tugrow pamoja ❤❤❤

  • @Mwanasiti-r8g
    @Mwanasiti-r8g 3 месяца назад +2

    Lahaula bonge😢😢

  • @ZaujiaZaujia
    @ZaujiaZaujia 5 месяцев назад +3

    Kama unaikubali hii move ngonga lik🎉🎉

  • @HythamHytham-k8q
    @HythamHytham-k8q 5 месяцев назад +4

    Wanaipozeshaa ajachangamkaa

  • @BrendaMogambi
    @BrendaMogambi 5 месяцев назад +2

    Hila cheusi ww😂😂😂😂kudadadeki

  • @SufianiAhmed
    @SufianiAhmed 5 месяцев назад +3

    Good film🎉

  • @Kizawilondja-g9i
    @Kizawilondja-g9i 2 месяца назад

    Eti ngoja nimulize mama 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @JAY_P_THE1
    @JAY_P_THE1 5 месяцев назад +18

    Kama unamkubali mzee wa misumali gonga like zifike 100

  • @rizikisam6481
    @rizikisam6481 5 месяцев назад +1

    Ila cheusi na bonge wanafanana

  • @kabanyanahyacentha7297
    @kabanyanahyacentha7297 5 месяцев назад +2

    nawakbali sanaa munip basi like

  • @rojamohd1844
    @rojamohd1844 5 месяцев назад +1

    Najma nakukubali sana

  • @MwajumaSalum-c1e
    @MwajumaSalum-c1e 5 месяцев назад +1

    Cheusi ananikosha sana😂😂❤

  • @Fatema-n8x
    @Fatema-n8x 5 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂😂

  • @JumahSudy
    @JumahSudy 5 месяцев назад +5

    ❤❤❤❤❤❤

  • @ZainaSalmin-z1m
    @ZainaSalmin-z1m 5 месяцев назад

    yani bila kumuona ngwengwe na chado bado maisha hayendi

  • @Ummy-cr9nf
    @Ummy-cr9nf 5 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤love

  • @RoseBonnie-r8f
    @RoseBonnie-r8f 5 месяцев назад +2

    Namkubal Nisha kwaamichamb

  • @AbdallaYuduph
    @AbdallaYuduph 5 месяцев назад +1

    Movie Kali sna

  • @JosephatNyantika
    @JosephatNyantika 5 месяцев назад +5

    ❤❤❤❤

  • @Aaqwe-yi6qn
    @Aaqwe-yi6qn 5 месяцев назад +1

    Hii nayo ya moto 😂😂

  • @DorcasKadama
    @DorcasKadama 5 месяцев назад +4

    ❤❤❤❤❤

  • @mwanamisi1808
    @mwanamisi1808 5 месяцев назад +2

    Huyo Baruti ata si mzuri

  • @Safinamfinanga
    @Safinamfinanga 5 месяцев назад +4

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ishamtam3
    @ishamtam3 5 месяцев назад +4

    Chado humu ayupo jomon😅😅

    • @KhadijaSallum-b7l
      @KhadijaSallum-b7l 5 месяцев назад

      Yupoo Kwan hujamuon😅😅😅😅😅

    • @AzizaMleli
      @AzizaMleli 5 месяцев назад

      ​@@KhadijaSallum-b7lyaan umenifanya nicheke sanaa😂😂😂😂❤🎉

  • @EdwardCosmas-bv3ci
    @EdwardCosmas-bv3ci 5 месяцев назад +1

    Mnaweza mapaka bas

  • @mariammariam5723
    @mariammariam5723 5 месяцев назад +1

    Cheusi unasubiria kipunga😂

  • @KingMandege-h8g
    @KingMandege-h8g 5 месяцев назад

    Jamaa zangu Na wadau zangu naombeni mtoe coment kwa nini kitengo kwenye hii move hawamuweki😴😴😴

  • @RehemaRajabu-f7i
    @RehemaRajabu-f7i 5 месяцев назад

    Najma cm ya watu 😂😂😂

  • @ZakiaAlRamadani
    @ZakiaAlRamadani 5 месяцев назад +2

    Ila mbuzi😂😂😂

  • @jogejoboy3159
    @jogejoboy3159 5 месяцев назад +3

    Wa kwanza

  • @abalmohd7952
    @abalmohd7952 5 месяцев назад +2

    TUNAO WAKUBALI CHADO&CLAM VEVO.
    WEKA LIKE TWENDE SAWA🎉

  • @MauaKasulwa-k6y
    @MauaKasulwa-k6y 5 месяцев назад +2

    Nimewah leo namm naombeni like😂

  • @AbdallahSelemani-tr1ph
    @AbdallahSelemani-tr1ph 5 месяцев назад +1

    Correct

  • @AbdulShakur-t3f
    @AbdulShakur-t3f 5 месяцев назад +7

    Wakwaza